.

.
TZ WAKA BLOG TUNAKUTAKIA HERI YA MWAKA MPYA 2016, MWAKA HUU UWE WA BARAKA NA MAFANIKIO KWAKO | KUTANGAZA NA BLOG HII WASILIANA NASI KUPITIA 0716 979 939 AU BARUA PEPE tzwakablog@gmail.com

KITUO CHA RADIO HITS FM ZANZIBAR CHAVAMIWA NA KUCHOMWA MOTO

20151203044410 (1)
Watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo wamekivamia kituo cha utangazaji cha Hits Fm kilichopo mjini Zanzibar na kukichoma moto. 

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Naibu Kamishana wa Polisi Zanzibar, Salum Msangi amesema tukio hilo lilitokea majira ya saa 7:40 usiku. 

20151203044410 (2)

20151203044410 (3)
Amesema watu wengi ambao idadi yao haijajulikana baada ya kukivamia kituo hicho, walimfunga kamba mtangazaji wa zamu aliyejulikana kwa jina la Ally Abdallah na kumtoa nje kisha kukichoma moto kituo hicho. 
20151203044410 (7)

20151203044410 (4)
Jeshi la polisi bado linaendelea na uchunguzi mkali kufauati tukio hilo.
20151203044410 (5)

20151203044410 (6)

20151203044410

No comments: