.

.
TZ WAKA BLOG TUNAKUTAKIA HERI YA MWAKA MPYA 2016, MWAKA HUU UWE WA BARAKA NA MAFANIKIO KWAKO | KUTANGAZA NA BLOG HII WASILIANA NASI KUPITIA 0716 979 939 AU BARUA PEPE tzwakablog@gmail.com

16 September, 2015

Lissu amtaja JK kuhusika Richmond

Suala la Richmond imekuwa moja ya agenda za CCM katika kampeni za kuwania Urais wa Tanzanai 2015 hasa baada ya aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa aliyejiuzulu wadhifa huyo kwa kashfa hiyo, kuhamia upinzani.

Kila sehemu ambako mgombea urais wa CCM anakwenda, suala hilo limekuwa likiibuliwa, huku Lowassa akisema yeye hakuhusika, bali alijiuzulu kuiokoa Serikali isianguke kwa kuwa ulikuwa uamuzi wa wakubwa.


Wakati akiwaaga wananchi wa Kigoma katika Uwanja wa Lake Tanganyika juzi, Rais Jakaya Kikwete aliesema anashangazwa na Mwanasheria wa CHADEMA, Tundu Lissu kumtaka amtaje mhusika wa Richmond wakati mwenye Richmond yupo na anatembea naye mikoani na kumtaka Lissu amtaje: 

“Endapo Tundu Lissu atashindwa kumtaja mwenye Richmond, nitatoka hadharani na kumtaja mwenyewe,” 

Video hapa chini ina kauli iliyotolewa na Lissu siku moja tu baada ya Rais Kikwete kuzungumza...



No comments: