
Mbowe aliyasema hayo wakati akizungumza katika mazishi ya Mtoi yaliyofanyika jana kwenye Kijiji cha Mkuzi Kwekino, Lushoto mkoani Tanga na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa chama hicho akiwamo Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Salum Mwalimu na Mbunge wa Mwnyekiti wa Baraza la Wanawake, Halima Mdee.
Mamia ya wananchi wa jimbo hilo walijitokeza kuhudhuria mazishi ya Mtoi aliyekuwa pia akigombea kwa niaba ya muungano wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vya NCCR-Mageuzi, NLD na Chama cha Wananchi (CUF)
No comments:
Post a Comment