PERUZI ZAIDI

24 October, 2015

KIFAHAMU KITUO CHA KUPIGIA KURA KILICHOTENGWA CHINI YA MTI MKUBWA HUKO MTWARA


Kituo Kidogo cha kupigia Kura kilichotengwa chini ya Mti mkubwa katika Kata ya Naumbu - Mtwara, Hakika hii ni hatua ya Kusogeza Fursa karibu kabisa na Kura...Japo pia tuombe sana mvua isije ikaharibu utaratibu wa zoezi zimaaaa!

No comments:

Post a Comment