
Sheria mpya imependekezwa nchini Kenya ambayo itawaadhibu madereva wa taxi wanaonuka kutokana na kutooga na kuwa wachafu. Chini ya mapendekezo hayo, mamlaka zitaweza kuwapiga faini ya mpaka dola 300 madereva ambao hawajaoga na kutoa harufu mbaya...Itakuwaje sheria hii Ikija Tanzania na kuwahusu Madereva Taxi, Daladala na Bodaboda?
No comments:
Post a Comment