.

.
TZ WAKA BLOG TUNAKUTAKIA HERI YA MWAKA MPYA 2016, MWAKA HUU UWE WA BARAKA NA MAFANIKIO KWAKO | KUTANGAZA NA BLOG HII WASILIANA NASI KUPITIA 0716 979 939 AU BARUA PEPE tzwakablog@gmail.com

28 August, 2015

Majeruhi wa bodaboda wajaza wodi Muhimbili






Wauguzi wa Taasisi ya Mifupa Muhimbili (Moi), Dar es Salaam, Elina Macha (kushoto) na Mkwaji Rukamo wakimhudumia, Peter Chacha anayepatiwa matibabu hospitalini hapo, baada ya kupata ajali ya bodaboda.

Katika Jiji la dar es Salaam, Kuongezeka kwa majeruhi wa ajali za bodaboda kumeifanya Taasisi ya Mifupa Muhimbili (Moi), kuzidiwa na wagonjwa hadi kulazimika kuwalaza wengine sakafuni ambapo asilimia 53 ya majeruhi wote wanaopokewa na taasisi hiyo ni wa ajali ya pikipiki.

No comments: