Ambapo hapo awali nafasi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na msanii Davido (Nigeria).
Pia katika orodha ya mastaa wa Afrika waliofikisha followers milioni 1 imeongozwa na Watanzania.
Orodha kamili kwa mujibu wa namba za tarehe 29.12.2015;
- Diamond Platnumz 1,502,578
- Davido 1,498,823
- Wizkid 1,362,760
- Wema Sepetu 1,213,798
- Millard Ayo 1,165,390
- Don Jazzy 1,154,318
- Jokate Mwegelo 1,098,848
- Jacqueline Wolper 1,085,781
- Zarithebosslady 1,084,842
- Vanessa Mdee 1,061,682
Kwa hisani ya Mdundo.com
No comments:
Post a Comment