.

.
TZ WAKA BLOG TUNAKUTAKIA HERI YA MWAKA MPYA 2016, MWAKA HUU UWE WA BARAKA NA MAFANIKIO KWAKO | KUTANGAZA NA BLOG HII WASILIANA NASI KUPITIA 0716 979 939 AU BARUA PEPE tzwakablog@gmail.com

29 December, 2015

10 BORA ZA WASANII & WATU MAARUFU WENYE FOLLOWERS WENGI AFRICA

Msanii Diamond Platnumz ni msanii ambaye anaongoza kwa kupata tuzo kubwa zaidi kwa Afrika mwaka huu (MTV EMA – Best World Wide Act: Africa/India), si hilo tu bali pia ni msanii anayeongoza kwa followers wengi zaidi kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram kwa wasanii waishio Afrika.
Ambapo hapo awali nafasi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na msanii Davido (Nigeria).
Pia katika orodha ya mastaa wa Afrika waliofikisha followers milioni 1 imeongozwa na Watanzania.
Orodha kamili kwa mujibu wa namba za tarehe 29.12.2015;
  1. Diamond Platnumz 1,502,578
  2. Davido 1,498,823
  3. Wizkid 1,362,760
  4. Wema Sepetu 1,213,798
  5. Millard Ayo 1,165,390
  6. Don Jazzy 1,154,318
  7. Jokate Mwegelo 1,098,848
  8. Jacqueline Wolper 1,085,781
  9. Zarithebosslady 1,084,842
  10. Vanessa Mdee 1,061,682
Kwa hisani ya Mdundo.com

No comments: