.

.
TZ WAKA BLOG TUNAKUTAKIA HERI YA MWAKA MPYA 2016, MWAKA HUU UWE WA BARAKA NA MAFANIKIO KWAKO | KUTANGAZA NA BLOG HII WASILIANA NASI KUPITIA 0716 979 939 AU BARUA PEPE tzwakablog@gmail.com

28 August, 2015

Chama cha ACT Kuanza kuwika rasmi J2.

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amezungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Millenium Tower na kuzungumza mambo mbalimbali ya Chama hicho ikiwemo ufunguzi wa kampeni zao.
Ufunguzi wa kampeni hizo utakaofanyika Agosti 30 katika viwanja vya Zakheem, Mbagala ambapo watamtambulisha Mgombea wao wa Urais.
ZITTO KABWE- ‘Sasa hivi tunaendelea na mafunzo ya wagombea Ubunge kupitia chama chetu ili waweze kufanana’#ACT2015

No comments: