.

.
TZ WAKA BLOG TUNAKUTAKIA HERI YA MWAKA MPYA 2016, MWAKA HUU UWE WA BARAKA NA MAFANIKIO KWAKO | KUTANGAZA NA BLOG HII WASILIANA NASI KUPITIA 0716 979 939 AU BARUA PEPE tzwakablog@gmail.com

27 August, 2015

Msanii Ally Kiba Kuja kivingine na Sauti Sol wa kenya.



Wasanii wakongwe wa Kundi la muziki la SautiSol kutoka kenya, kupitia Kurasa yao ya Facebook wamewatonya mashabiki wa Muziki kuwa hivi sasa wako jikoni na Nguli wa muziki wa Bongo Fleva Ally Kiba katika Kuandaa kazi ya Pamoja inayotarajia kutoka hivi karibuni...kama wewe ni Shabiki wa Bongo Fleva na Ally Kiba Sikilizia hii..

Wasanii wa Kundi la Sautisol wakiwa kwenye Pozi

No comments: