Mshambuliaji Nyota wa Kimataifa wa Nigeria Gbolahan Salami, ametolewa kwenye Kikosi cha Eagles Squad kinachotarajiwa Kucheza na Taifa Stars-Tanzania kwa ajili ya mechi muhimu ya kufuzu kuingia kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Jumamosi hii jijini Dar es Salaam.
HABARI KAMILI
HABARI KAMILI
No comments:
Post a Comment