Wakazi wa mtaa wa mji mpya, kata ya Vingunguti, Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam wako mbioni kuanza kunufaika na mradi wa uzalishaji wa gesi inayotokana na maji taka ya vyoo vyao na yale ya yaliyo katika mabwawa makubwa ya kuhifadhia maji taka yaliyo katika eneo hilo.
08 September, 2015
Mradi wa kuzalisha gesi kutoka mabwawa ya maji taka na Vyoo Vingunguti
Mratibu wa Mradi wa kuzalisha gesi ambaye pia ni mwanafunzi wa mwaka wa 4 katika fani ya Uhandisi wa Mazingira, Chuo Kikuu cha Ardhi John Rutahirwa Akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu moja ya mtambo wa kukusanyia maji taka kutoka majumbani eneo la mradi wa kuzalisha gesi Vingunguti.Gesi hiyo itaanza kutumika mwezi Desemba mwaka huu.
Wakazi wa mtaa wa mji mpya, kata ya Vingunguti, Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam wako mbioni kuanza kunufaika na mradi wa uzalishaji wa gesi inayotokana na maji taka ya vyoo vyao na yale ya yaliyo katika mabwawa makubwa ya kuhifadhia maji taka yaliyo katika eneo hilo.
Wakazi wa mtaa wa mji mpya, kata ya Vingunguti, Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam wako mbioni kuanza kunufaika na mradi wa uzalishaji wa gesi inayotokana na maji taka ya vyoo vyao na yale ya yaliyo katika mabwawa makubwa ya kuhifadhia maji taka yaliyo katika eneo hilo.
Labels:
Habari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment