
Baadhi ya Viongozi wa Umoja wa Wafanyabiashara za Forever Living Mwanza wakiwa nje ya Hospitali ya Bugando leo asubuhi.
Forever Business Owners ambao wana kawaida ya kurudisha kwa jamii (FOREVER GIVING) zoezi ambalo liliendelea kufanyika leo katika hospitali ya Bugando kwa binti Johari 17yrs, mwanafunzi wa kidato cha pili huko Kigoma ambaye ALIKUNYWA CAUSTIC SODA akijua ni MAJI.
February mwaka huu Johari alipofika nyumbani akitokea shule alikuwa na kiu sana ndipo alipochota MAJI KWENYE DIABA NA KUNYWA akijua ni maji, kumbe ilikuwa ni CAUSTIC SODA ambayo mama yake aliweka kwa ajili ya kutengeneza sabuni..
HABARI KAMILI >>>
HABARI KAMILI >>>
No comments:
Post a Comment