.

.
TZ WAKA BLOG TUNAKUTAKIA HERI YA MWAKA MPYA 2016, MWAKA HUU UWE WA BARAKA NA MAFANIKIO KWAKO | KUTANGAZA NA BLOG HII WASILIANA NASI KUPITIA 0716 979 939 AU BARUA PEPE tzwakablog@gmail.com

09 September, 2015

UKAWA WAZINDUA KAMPENI ZA CUF ZANZIBAR






















Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo 
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa Chama 
cha Wananchi CUF - Zanzibar, Nassor Mazrui, wakati akiwasili katika Mkutano wa 
Uzinduzi wa Kampeni za Chama hicho, zilizofanyika kwenye Uwanja wa Demokrasia, 
Kibanda Maiti, Zanzibar jana Septemba 9, 2015.






















Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
 (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akilakiwa na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA-
Zanzibar, Salum Mwalim, wakati akiwasili katika Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni 
za Chama cha Wananchi CUF - Zanzibar, zilizofanyika kwenye Uwanja wa Demokrasia,
 Kibanda Maiti, Zanzibar jana Septemba 9, 2015.






















Mgombea Mwenza wa Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia 
na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Juma Duni Haji, akiwapungia wananchi wa Zanzibar 
(hawapo pichani) walioshiriki Ufunguzi wa Kampeni za Chama cha Wananchi CUF -
 Zanzibar, zilizofanyika kwenye Uwanja wa Demokrasia, Kibanda Maiti, Zanzibar jana
 Septemba 9, 2015.



















Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo 
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akizungumza jambo na Mgombea Mwenza wake, 
Mh. Juma Duni Haji, katika hafla ya Ufunguzi wa Kampeni za Chama cha Wananchi CUF
 - Zanzibar, zilizofanyika kwenye Uwanja wa Demokrasia, Kibanda Maiti, Zanzibar jana 
Septemba 9, 2015

No comments: