RAIS MAGUFULI, AMEWAAPISHA MAWAZIRI 5 NA NAIBU WAZIRI 1 IKULU ALIOWATEUA KUKAMILISHA BARAZA LAKE LEO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Katibu Mkuu Wa Kiongozi walioketi katika picha ya Pamoja na Mawaziri walio simama baada ya kuwapisha Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 28,2015
No comments:
Post a Comment