.

.
TZ WAKA BLOG TUNAKUTAKIA HERI YA MWAKA MPYA 2016, MWAKA HUU UWE WA BARAKA NA MAFANIKIO KWAKO | KUTANGAZA NA BLOG HII WASILIANA NASI KUPITIA 0716 979 939 AU BARUA PEPE tzwakablog@gmail.com

31 August, 2015

Matukio muhimu yaliyotokea kote duniani kuhusu bara la Afrika Kimichezo kwa picha.

Wiki hii ya mwisho wa mwezi wa nane umekuwa ni mwezi ambao umekuwa na matukio mengi, hasa huko beijing ambako Kenya ilivunja rekodi ya kuwa taifa la kwanza barani Afrika kuwahi kuwa mshindi wa mashindano ya riadha ya dunia.
Genzebe Dibaba


Image copyrightMwanariadha wa Ethiopia Genzebe Dibaba baada ya kushinda medali ya dhahabu katika mbio za mita 10,000 kwa kina dada
Julius Yego
Image captionMkenya Julius Yego, akirusha mkuki katika mashindano ya riadha ya dunia ambapo aliweka rekodi ya kuwa mkenya wa kwanza kuwahi kushinda medali ya dhahabu katika mashindani kurusha mkuki.
Godfrey Khotso Mokoena
Image captionMwanariadha wa Afrika Kusini Godfrey Khotso Mokoena ambaye alishiriki katika shindano la triple jump na kumaliza katika nafasi ya 9.

No comments: