.

.
TZ WAKA BLOG TUNAKUTAKIA HERI YA MWAKA MPYA 2016, MWAKA HUU UWE WA BARAKA NA MAFANIKIO KWAKO | KUTANGAZA NA BLOG HII WASILIANA NASI KUPITIA 0716 979 939 AU BARUA PEPE tzwakablog@gmail.com

01 September, 2015

Rangi Zinazotumika Majumbani zabainika kuwa Sumu.


Zaidi ya nusu ya rangi za mafuta za kupamba majumbani zilizofanyiwa utafiti, zina viwango vikubwa vya madini ya risasi ambayo ni sumu hatari kwa watoto.

Akizungumza jijini Dar es Salaam katika uzinduzi wa utafiti uliyofanywa na asasi isiyo ya kiserikali ya Agenda, Mwenyekiti wa asasi hiyo Prof. Jamidu Katima amesema madhara yatokanayo na madini ya risasi kwenye ubongo wa watoto wadogo ni ya kudumu, hayarekebishiki na hayatibiki.

No comments: