.

.
TZ WAKA BLOG TUNAKUTAKIA HERI YA MWAKA MPYA 2016, MWAKA HUU UWE WA BARAKA NA MAFANIKIO KWAKO | KUTANGAZA NA BLOG HII WASILIANA NASI KUPITIA 0716 979 939 AU BARUA PEPE tzwakablog@gmail.com

07 September, 2015

GWAJIMA: NITAFANYA MKUTANO KWA SAA MOJA TU.

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, ameibuka na kusema atafafanua kila kitu kwa umma kuhusu madai yaliyotolewa na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, dhidi yake wakati atakapozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaa kesho.

Amesema moja ya ufafanuzi atakaotoa ni kuhusiana na kubatizwa jina la mshenga na Dk. Slaa wiki iliyopita.    Bofya KUSOMA HABARI KAMILI

No comments: